.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 18 Oktoba 2017

RONALDO AIOKOA REAL MADRID ISIZAMEA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Tottenham Hotspur wameonyesha kiwango cha juu cha kuhimili mikiki mikiki ya Real Madrid na kufanikiwa kutoka sare ya goli 1-1 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Katika mchezo huo Tottenham Hotspur ilikuwa ya kwanza kupata goli baada ya Kane kumkimbilia beki Raphael Varane na kumlazimisha kutumbukiza katika goli lake mpira wa krosi.

Goli hilo la dakika ya 28, lilidumu hadi katika dakika ya 43 pale Cristiano Ronaldo alipofunga goli kwa mkwaju wa penati.
   Mpira uliopigwa na beki Raphael Varane kwa nia ya kuuokoa ukijaa wavuni na kujifunga
  Mshambuliaji nyota duniani Cristiano Ronaldo akifunga goli la kusawazisha kwa mkwaju wa penati

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni