Wasimamizi wa NFL nchini Marekani
wanajaribu kufikia maafikano na wachezaji wanaopinga kwa kupiga
magoti wakati wa wimbo wa taifa, wakati wamiliki wa timu za mchezo
huo watakapokutana.
Mchezaji Colin Kaepernick alikuwa
mchezaji wa kwanza kususia kiani wimbo wa taifa wa Marekani Agosti
2016 kwa kukaa chini kabla ya kubadili aina ya ugomeaji kwa kupiga
goti katika kupinga ubaguzi.
Wachezaji wengi wa mchezo huo wa
soka la Kimarekani walifuatia kuiga aina hiyo ya kugomea wimbo wa
taifa kwa kupiga goti baada ya kukosolewa na rais Donald Trump wa
Marekani mwezi uliopita.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni