.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 23 Novemba 2017

MAN UNITED YALALA WAKATI BARCELONA NAYO IKUIAMBULIA SARE TASA TURIN

Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho amesema kikosi chake kilipaswa kufunga magoli 6 katika kipindi cha kwanza katika mchezo waliofungwa goli 1-0 na Basel.

United walikitawala kipindi cha kwanza katika mchezo huo waliokuwa ugenini huku Marouane Fellaini pamoja na Marcos Rojo mashuti yao yakigonga mwamba.
                 Mchezaji wa Basel Michael Lang akifunga goli pekee katika mchezo huo
Lionel Messi alianzia benchi wakati Barcelona wakitinga hatua ya 16 bora baada ya kutoa sare tasa kwa mara ya pili katika hatua ya makundi.

Sare ya mchezo wa Oktoba dhidi ya Olympiakos ilikuwa ya kwanza kwa Barcelona kushindwa kufunga katika hatua ya makundi na jana pia waliambulia sare Turin.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni