.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 24 Novemba 2017

TIMU YA EVERTON YAPIGWA MKONO NYUMBANI NA ATALANTA

Timu ya Everton imepigwa magoli 5-1 na Atalanta katika Ligi ya Europa katika mchezo ulioshuhudiwa na mashabiki karibu na nusu ya watazamaji katika dimba la nyumbani la Goodison Park.

Everton walikuwa tayari wameshatolewa katika michuano hiyo kabla ya mchezo huo hata hivyo kocha aliyeitwaa timu hiyo David Unsworth alipanga kikosi kigumu wakiwemo Wayne Rooney, Kevin Mirallas naAshley Williams.

Wageni walipata goli la kwanza katika dakika ya 12 kupitia kwa Bryan Cristante na kisha baadaye kuongeza la pili kabla ya Sandro Ramirez kuifungia Everton goli pekee. Robin Gosens aliifungia Atalanta goli la tatu na Andreas Cornelius akatupia mawili.
                         Mchezaji Bryan Cristante akifungua akaunti ya magoli ya Atalanta
                                    Mshambuliaji Robin Gosens akiifungia Atalanta goli la tatu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni