.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 24 Novemba 2017

KOCHA ARSENE WENGER AMESEMA ARSENAL INAKAZI YA KUFANYA

Kocha Arsene Wenger amesema Arsenal inakazi ya kufanya ili iweze kusonga mbele katika hatua ya mtoano ya Ligi ya Europa baada ya jana kufungwa goli 1-0 na FC Cologne.

Mkwaju wa penati uliopigwa na Sehrou Guirassy baada ya Mathieu Debuchy kuonekana amemchezea rafu mshambuliaji huyo wa Ufaransa lilitosha kuwapa ushindi Cologne.

Ukiwa umebakia mchezo mmoja, Arsenal inapointi 10 katika michezo mitano, pointi nne mbele ya Cologne na Red Star Belgrade iliyotoa sare na Bate Borisov.
                          Sehrou Guirassy akiwa amefunga goli pekee lililoizamisha Arsenal
                    Mabeki wa FC Cologne wakimdhibiti Danny Welbeck asilete madhara

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni