Bingwa mara mbili wa Grand Slam
Angelique Kerber amemchakaza Madison Keys katika dakika 51 na kutinga
nusu fainali ya Australia Open.
Mjerumani huyo mwenye miaka 30
alikuwa katika kiwango bora akimfunga Mmarekani Keys kwa seti 6-1 6-2
katika dimba la Rod Laver Arena.
Keys, ambaye alitinga fainali za
mwaka 2017, alihaha mno muda wote wa mchezo huo na kupata pointi 18
kati ay 46 wakati akianzisha mpira.
Mwanadada Angelique Kerber akipambana kurejesha mpira katika mchezo huo
Mmarekani Keys akimpongeza Angelique Kerber baada ya kuibuka mshindi
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni