.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 24 Januari 2018

MANCHESTER CITY YATINGA FAINALI YA KOMBE LA CARABAO

Manchester City imetinga fainali yao ya kwanza wakinolewa na Pep Guardiola wakati vinara wa Ligi Kuu ya Uingereza ikiifunga Bristol City magoli 3-2 katika mchezo wa kombe la Carabao.

Ikiwa inaongoza kwa ushindi wa magoli 2-1 katika mchezo wa kwanza, magoli kutoka kwa Leroy Sane, Sergio Aguero na Kevin de Bruyne yaliihakikishia Manchester City kutinga fainali.
   Aiden Flint akiifungia Bristol City goli la kusawazisha na kufanya matokeo kuwa 2-2
            Kevin de Bruyne akiwa amefunga goli la tatu lililoipa ushindi Manchester City

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni