.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Februari 2018

WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AKAGUA MRADI WA UJENZI WA CHUO CHA WALIMU KITANGALI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Dkt Leonard Akwilapo, wakati alipo kagua mradi wa ujenzi wa chuo cha walimu Kitangali, uliopo katika Kata ya Maputi, Wilayani Newala, Februari 27, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipewa maelezo ya mradi wa ujenzi wa chuo cha walimu Kitangali na Mshauri wa mradi, Benson Mwemezi, wakati akikagua mradi huo uliopo katika Kata ya Maputi, Wilayani Newala, Februari 27, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni