.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 8 Aprili 2018

MESSI AZIDI KUIBEBA BARCELONA KUELEKEA KUTWAA UBINGWA WA LA LIGA


Lionel Messi amefunga hat-trick yake ya 40 akiwa na Barcelona na kuisaidia klabu yake katika mbio za kuelekea kutwa ubingwa wa La Liga.

Katika mchezo huo ambao pia Barcelona waliifikia rekodi yao ya kucheza michezo 38 ya La Liga bila ya kufungwa Messi alifunga goli la kwanza kwa mpira wa adhabu.

Messi tena alinasa pande la Philippe Coutinho kabla ya baadaye Lagenes kuridisha goli moja lakini Messi tena akaongeza goli la tatu na matokeo kuwa 3-1.
   Kipa wa Lagenes Cuellar akiruka bila ya mafanikio kuzuia mpira wa adhabu uliopigwa na Lionel Messi
   Lionel Messi akikamilisha hat-trick katika mchezo huo baada ya kunasa pasi ya Ousmane Dembele 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni