.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 8 Desemba 2013

BAYERN MUNICH YAFANYA MAUAJI KATIKA LIGI KUU YA UJERUMANI

Bayern Munich imeichakaza bila ya hurumu Werder Bremen kwa kuipa kipigo kikali cha mabao 7-0, ikiwa ni salamu tosha kwa Manchester City ambayo itasafiri wiki ijayo hadi Ujerumani kucheza nao mchezo wa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.

Franck Ribery ndie alikuwa chachu ya ushindi baada ya kutikisa nyavu mara mbili, na kutengeneza nafasi nyingine wakati mabingwa hao wakionekana kutoshikika katika ligi hiyo na kuhakikisha wanalitwa tena taji lao.



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni