.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 8 Desemba 2013

MOYES BADO AOTA UBINGWA, MOURINHO AKIRI CHELSEA IPO KWENYE MATATIZO

Kocha wa Manchester United David Moyes amesisitiza kuwa timu yake bado ipo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza licha ya kupata kipigo cha pili mfululizo katika dimba la nyumbani hapo jana.

Newcastle jana ilipata ushindi wa bao moja bila, ushindi ambao ni wa kwanza kwa klabu hiyo katika dimba la Old Trafford tangu miaka 41 kupita, na kuifanya Manchester United kufikisha rekodi ya kufungwa mara tatu nyumbani katika msimu huu.


Wakati huo huo kocha Jose Mourinho amesema Chelsea ipo katika matatizo baada ya kuongoza kwa bao 1-0, na baadae kujikuta wakizidiwa kete na kulala kwa mabao 3-2 wakiwa ugenini dhidi ya Stoke City.




Hakuna maoni :

Chapisha Maoni