.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 8 Desemba 2013

SUPER MARIO BALOTELLI AINUSURU AC MILAN KUPATA KIPIGO UGENINI

Mchezaji machachari na mtukutu Mario Balotelli ameifungia AC Milan mabao mawili na kuisaidia timu yake kuambulia sare ya mabao 2-2 dhidi ya Livorno katika mchezo wa Ligi Kuu ya Italia.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Italia, aliipatia AC Milan bao la kwanza katika dakika ya 7 kufuatia pasi ya Kaka, kabla ya Luca Siligardi kusawazisha bao hilo mnamo dakika ya 26.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni