.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 8 Desemba 2013

ZLATAN IBRAHIMOVIC APACHIKA MAWILI WAKATI PSG IKIICHAKAZA SOCHAUX

Zlatan Ibrahimovic alipachika wavuni mabao mawili mnamo dakika za mwisho na kutengeneza mengine mawili wakati Paris St Germain ikiiadhibu Sochaux kwa ushindi wa mabao 5-0, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1.

Ibrahimovic alipachika mabao mawili katika dakika za mwisho za 87 na kuelekea kumalizika kwa mchezo huo, huku akiwa tayari alishawatengenezea mabao Thiago Silva na Edinson Cavani katika mchezo ambao Ezequiel Lavezzi nae alifunga bao.



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni