.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 8 Desemba 2013

WANAJESHI WA UFARANSA WAFIKA KWENYE MJI WENYE MACHAFUKO NCHINI CAR

Vikosi vya jeshi la Ufaransa vimefika katika mji wa Bossangoa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, ambao umechafuka kutokana na mapigano ya jamii zinazoishi mji huo.

Ufaransa imepeleka kikosi cha wanajeshi 1,600 kusaidi kumaliza machafuko hayo yaliyouwa watu 400 katika nchi hiyo, ambayo pia vikosi vya Umoja wa Afrika vipo kulinda amani.



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni