.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 13 Machi 2014

SAMIA SULUHU HASSAN ACHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA BUNGE LA KATIBA

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wamemchagua Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge hilo.

Akitangaza matokeo hayo Msimamizi wa Uchaguzi alisema Samia Suluhu Hassan amepata kura 390 sawa na asilimia 74.6, Amina Hassan Amour kura kura 126 sawa na asilimia 24.1, kura zilizoharibika zilikuwa kura 7 na jumla ya wajumbe 523 walipiga kura.

Sasa Bunge hilo limepata Mwenyekiti wake Samwel Sitta aliyechaguliwa jana kuwa Mwenyekiti ambaye anaungana na Samia Suluhu Hassan aliyechaguliwa leo kuwa Makamu Mwenyekiti.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni