.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 26 Mei 2014

ROGER FEDERER NA SERENA WILLIAMS WAANZA KWA USHINDI HUKO ROLAND GARROS

Mchezaji tenesi Roger Federer amemzidi mbinu Lukas Lacko na kujipatia ushindi mwepesi katika mzunguko wa kwanza wa michuano huko Roland Garros.

Mshindi huyo mara 17 wa Grand Slam, aliibuka na ushindi huo kiulaini kwa kumfunga Lacko kwa seti 6-2 6-4 6-2.

Naye mchezaji namba moja wa tenesi kwa wanawake Serena Williams ameanza kutetea taji lake katika michuano hiyo kwa seti 6-2 6-1 dhini ya Mfaransa Alize Lim. 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni