.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 26 Mei 2014

SAFARI ZA NDEGE ZASITISHWA UKRAINE BAADA YA UWANJA KUVAMIWA NA WATU WENYE SILAHA

Safari za Ndege zimesitishwa kwenye uwanja wa ndege Mashariki mwa Mji wa Ukraine, wa Donetsk baada ya kuvamiwa na wanaharakati wanaotaka kujitenga walio na silaha.

Wanaume wengi wamewasili mapema leo kwenye uwanja huo wakishinikiza vikosi vya jeshi la Ukraine kujiondoa kwenye uwanja huo wa ndege.

Tukio hilo limetokea wakati ambapo wananchi wa Ukraine wakingojea matokeo ya uchaguzi wa rais, ambapo mfanyabiashara Petro Poroshenko anatarajiwa kushinda na kuepuka uchaguzi wa marudio.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni