.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 28 Mei 2014

UNICEF YASEMA WATOTO LAKI MBILI HUENDA WAKAFA NCHINI SOMALIA KWA NJAA

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF, limesema watoto 200,000 huenda wakafariki dunia nchini Somalia kwa njaa iwapo hazitochangishwa fedha zaidi za kuisaidia nchi hiyo iliyogubikwa na machafuko.

Msemaji wa UNICEF Christophe Boulierac amesema iwapo fedha hazitopatikana itawapidi wasitishe utoaji huduma za afya na uokoaji maisha ya wanaozitoa kwa watoto nchini Somalia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni