.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 18 Januari 2015

DEONTAY WILDER AMDUNDA KWA POINTI BERMANE STIVERNE NA KUTWAA UBINGWA

Bondia Deontay Wilder ametwaa taji la ubingwa wa uzito wa juu duniani kwa kumshinda Bermane Stiverne kwa pointi kadhaa.

Katika mchezo wao uliochezwa Jijini Las Vegas Wilder alipata pointi 118-109, 119-108 na 120-107 kutoka kwa marefa wote watatu dhidi ya mpinzani wake Stiverne.

Kwa ushindi huo Deontay Wilder anakuwa Mmarekani wa kwanza kushinda taji la uzito wa juu duniani baada ya kupita zaidi ya miaka nane.
                                                 Wilder akimpatia konde la kushoto Steverne 
                                             Steverne akimkumbatia Wilder na kuanguka nae
                         Refa na mabondi wote wakiwa chini baada ya kuangukiana

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni