Mwenyekiti wa kamati ya Bunge, Profesa Peter Msola ( wa kwanza kushoto ) akigaua mradi maji wa Mambogo manispaa ya Morogoro. Nyuma yake mwenye shati la vidoti doti ni Naibu Waziri wa Maji, Mh Amos Makalla.
Kamati ya Kilimo, Maji na Mifugo ikiongozwa na mwenyekiti wake Profesa Peter Msola imefanya ziara mkoa wa Morogoro kwa kutembelea kijiji cha Fulwe, mradi wa maji wa Mambogo manispaa ya Morogoro na mradi maji Mikumi.
Aidha tarehe 22 Januari ,2015 kamati itatembelea wilaya Kilolo na manispaa Iringa, na 23 kamati litatembelea wilaya ya Rungwe.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni