.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 22 Januari 2015

KANISA KATOLIKI DRC LAUNGA MKONO MAANDAMANO KUPINGA KABILA KUONGEZA MUDA

Kanisa Katoliki katika nchi ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo, limewaunga mgono waandamanaji wanaopinga mpango utakaouongezea muda utawala wa rais Joseph Kabila.

Kanisa hilo limetaka kuwepo maandamano ya amani kupinga mpango wa kumuongezea muda wa urais Kabila hadi hapo litakapofanyika zoezi la sensa.

Katika maandamano hayo makubwa kwenye Jiji la Kinshasa jumla ya watu 11 wameuwawa na vyombo vya dola.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni