.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 28 Januari 2015

MAPADRI 10 HISPANIA WAFUNGULIWA KESI YA UDHALILISHAJI KINGONO WATOTO

Jaji mmoja katika mji wa kusini mwa Hispania, Granada, amewafungulia mashtaka mapadri 10, na wasaidizi wao wawili wa Kanisa la Katoliki, kwa makosa ya kuwadhalilisha kingono watoto.

Watuhumiwa hao 12 waliwadhalilisha kingono watoto 4, kati ya miaka 2004 na 2007, uhalifu ambao waliutekeleza katika nyumba ambayo ilikuwa ikitumika na mapadri.

Novemba mwaka jana Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis, alimpigia simu mmoja wa watoto aliofanyiwa ukatili huo, ambaye sasa anaumri wa miaka 24, na kumuomba msamaha kwa kitendo alichofanyiwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni