Rais Barack Obama ameongoza ujumbe
mkubwa wa Marekani, nchini Saudi Arabia kufuatia kifo cha mfalme
Abdullah.
Rais Obama alikatiza ziara yake ya
nchini India ili kupata fursa ya kuhani msiba wa mfalme huyo, ambapo
pia alikutana na mfalme mpya wa nchi hiyo Salman.
Rais Obama aliambatana na maafisa
maarufu wa chama cha Republican wakiwemo waliyowahi kushika wadhifa
wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani James Baker na Condoleezza
Rice.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni