.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 28 Januari 2015

RAIS BARACK OBAMA AENDA SAUDI ARABIA KUHANI MSABA WA MFALME ABDULLAH

Rais Barack Obama ameongoza ujumbe mkubwa wa Marekani, nchini Saudi Arabia kufuatia kifo cha mfalme Abdullah.

Rais Obama alikatiza ziara yake ya nchini India ili kupata fursa ya kuhani msiba wa mfalme huyo, ambapo pia alikutana na mfalme mpya wa nchi hiyo Salman.

Rais Obama aliambatana na maafisa maarufu wa chama cha Republican wakiwemo waliyowahi kushika wadhifa wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani James Baker na Condoleezza Rice.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni