.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 19 Januari 2015

PAPA AONDOKA UFILIPINO KUELEKEA ROMA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis ameondoka kuelekea Roma baada ya kuvuta umati mkubwa wakati wa ziara yake ya siku tano nchini Ufilipino.

Makumi ya maelfu ya watu walijipanga kando ya barabara kushuhudia msafara wa Papa na kumuona kwa mara ya mwisho wakati akielekea uwanja wa ndege wa Villamor.

Watu milioni sita hawakujali hali ya hewa wakati walipohudhuria misa ya eneo la wazi katika Jiji la Manila hapo jana iliyoongozwa na Papa Francis.

Papa Francis ametumia wiki akiwa Asia, ambapo pia alitembelea Sri Lanka ambayo ni ukanda unaokua wa Kanisa Katoliki.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni