.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 12 Januari 2015

SHULE ILIYOSHAMBULIWA NA WATALIBANI NA KUUA WATU 140 YAFUNGULIWA

Wanafunzi na walimu wamerejea kwa mara ya kwanza katika shule iliyopo mji wa Peshawar nchini Pakistani ambayo wanafunzi na walimu 140 waliuwawa mwezi uliopita.

Walimu na wanafunzi watafanya tukio la kuwakumbuka wale wote waliouwawa katika shambulio hilo la kigaidi lililotekelezwa na wapiganaji wa Kitaliban.

Shule mbalimbali nchini Pakistani zinafunguliwa baada ya kutolewa muda wa ziada wa mapumziko, kutokana tukio hilo la shambulio la wataliban Desemba 16, mwaka jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni