Wazamiaji wa Indonesia wamekiopoa
majini kisanduku kinachorekodi taarifa za ndege cha ndege ya AirAsia
namba QZ8501 iliyoanguka baharini.
Wazamiaji hao pia wanaamini kupata
sanduku linalorekodi sauti, ambalo linakamilisha kifaa cha
mawasiliano cha black box, hata hivyo wazamiaji hawakuweza kukifikia.
Ndege ya hiyo AirAsia ilitoweka
kutokana na hali mbaya ya hewa Desemba 28, ikiwa na abiria 162 na
kisha kuripotiwa kuanguka kwenye bahari ya Java.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni