.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 21 Januari 2015

UFARANSA YAJIDHATITI KUKABILIANA NA VITENDO VYA UGAIDI

Nchi ya Ufaransa kutengeneza ajira mpya 2,680 na kuongeza matumizi yake kufikia paundi milioni 335 ili kuboresha mapambano dhidi ya ugaidi, Waziri Mkuu wa nchi hiyo Manuel Valls amesema.

Amesema nguvu kazi hiyo ni muhimu kutokana na kusambaa kwa watu wenye misimamo mikali, ambapo watu 3,000 nchini humo kwa sasa wanapata huduma za kamera za usalama nchini Ufaransa.

Waziri Mkuu Valls ameeleza hayo wakati akifafanua mipango ya serikali ya Ufaransa kufuatia tukio la shambulio la Jijini Paris lililouwa watu 17.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni