Taasisi ya misaada imeonya kuwa
baridi inaweza ikaua mtu mmoja nchini Uingereza katika kila dakika
saba kutokana na hali ya hewa ya barafu iliyopo hivi sasa.
Karibu ya wazee milioni moja wapo
katika hatari kutokana na baridi kali na hawana uwezo wa kumudu
gharama za mashine za joto nyumbani kwao.
Wakati hayo yakisema hali ya baridi
inazidi kuongezeka hii leo na kesho huku kipimo cha joto kikionyesha
kuwa ni nyuzi joto -15.



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni