.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 20 Januari 2015

ULAYA YATABIRIWA KUKUMBWA NA KIMBUNGA CHA KISIASA MWAKA HUU

Kimbunga cha kisiasa kinatarajia kuikumba Ulaya mwaka 2015, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na kitengo cha Intelijensia ya Uchumi.

Ripoti hiyo inasema vyama vinavyokua na kupata umaarufu, vitafanikiwa kushinda zaidi katika chaguzi, na vyama vikuu vitalazimika kufiria kuunda muungano ambao haukuzaniwa.

Mgogoro wa demokrasia wa Ulaya ni pengo baina ya watu wachache waliohodhi madaraka pamoja na wapiga kura, ripoti hiyo imeeleza.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni