.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 20 Januari 2015

WAPIGA KURA NCHINI ZAMBIA WANAPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA KUMCHAGUA RAIS

Wapiga kura nchini Zambia wanapiga kura katika uchaguzi wa kumchagua rais kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa nchi hiyo Michael Sata mwaka jana.

Mchuano mkali unatarajiwa kuwa baina ya mgombea urais Edgar Lungu kutoka chama tawala cha Patriotic Front na Hakainde Hichilema kutoka chama cha United Party for National Development.

Mshindi atakayepatikana ataiongoza Zambia kwa kipindi cha miezi 18 kilichobakia katika muhula wa marehemu Michael Sata. Wagombea wote wameahidi kuboresha elimu na kuongeza ajira.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni