.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 26 Januari 2015

WAPIGANAJI WA KUNDI LA BOKO HARAM WAMESHAMBULIA MJI WA MAIDUGURI

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia mji muhimu wa kaskazini-mashariki wa Maiduguri, ambapo makumi ya watu wameripotiwa kufa,

Mapema siku ya Jumapili, wapiganaji hao wa Boko Haram walitwaa mji wa kaskazini-mashariki wa Monguno.

Wakati huo huo Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry, amewasili Nigeria, kutoa wito wa kutaka kuwepo kwa uchaguzi wa amani wiki ijayo ambao unapaswa kuzingatia viwango.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni