Watuhumiwa wawili wa kujitoa Jihadi
wameuwawa katika operesheni ya kukabiliana na ugaidi, mashariki mwa
Ubelgiji.
Maafisa wa nchi hiyo wamesema
mtuhumiwa watatu amekamatwa katika msako uliofanyika Verviers pamoja
na silaha kadhaa zimeripotiwa kupatikana.
Mwendesha mashtaka Eric Van Der Sypt
amewaambia waandishi wa habari kuwa polisi ilililenga kundi
lililorejea kutoka Syria waliokuwa wanajianda kufanya shambulio muda
wowote. Watuhumiwa hao waliwarushia risasi polisi.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni