.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 24 Machi 2015

JIMBO LA UTAH YAREJESHA HUKUMU YA KUUWAWA KWA KUPIGWA RISASI

Jimbo la Utah nchini Marekani litarejea utekelezaji hukumu ya kifo kwa kupigwa risasi, wakati ambapo dawa za sindano za kusababisha kifo zitakapokuwa hazipatikani.

Tayari gavana wa Utah ameshatia saini uamuzi huo kuwa sheria rasmi hapo jana na kuifanya Utah kuwa jimbo pekee la Marekani linalotekeleza adhabu ya kuuwawa kwa kupigwa risasi.

Baadhi ya majimbo ya Marekani yanafikiria kutumia njia nyingine, wakati yakihaha kupata dawa ya sindano ya kuua, kutokana na kuwepo kwa uhaba mkubwa wa dawa hiyo Marekani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni