.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 6 Mei 2015

DONGE NONO LA DOLA MILIONI 20 LATOLEWA ILI KUWANASA VIONGOZI WA (IS)

Serikali ya Marekani itatoa zawadi ya dola milioni 20 kwa mtu atakayetoa taarifa zitakazofanikisha kukamatwa viongozi wakuu wa kundi la dola ya Kiislama (IS).

Taarifa hiyo imewataja viongozi hao wanaotafuta kuwa ni Abd al-Rahman Mustafa al-Qaduli, Abu Mohammed al-Adnani, Tarkhan Tayumurazovich Batirashvili pamoja na Tariq Bin-al-Tahar Bin al Falih al-'Awni al-Harzi.

Viongozi hao wanaungana na orodha ya fungu la zawadi nono kwa watu wanaotafutwa kwa ajili ya kufikishwa mbele ya vyombo vya dola. Hapo jana IS walisema ilihusika na shambulio lililotokea Texas.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni