.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 6 Mei 2015

WAGOMBEA UINGEREZA WAHAHA KUTAFUTA KURA KATIKA SIKU YA MWISHO

Viongozi wa siasa na wagombea nchini Uingereza wanajaribu kutumia dakika za mwisho kutafuta kura katika siku ya mwisho ya kampeni kabla ya zoezi la kupiga kura kuanza.

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amesema kuwa taifa hilo lipo imara kuliko lilivyokuwa miaka mitano iliyopita na kuna mambo zaidi ya kufanya.

Kura za maoni zinapendekeza kuwa hakuna chama kitakachoshinda viti vya kutosha kuweza kuunda serikali yake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni