.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 6 Mei 2015

WANAFUNZI WA CHUO CHA UALIMU GARISSA, KENYA WAGOMA KUREJEA CHUONI

Wanafunzi kutoka Chuo cha Mafunzo ya Ualimu Garissa nchini Kenya wanashinikiza wahamishiwe kwenye vyuo vingine nchini Kenya kutokana na kuhofia usalama wa maisha yao.

Wanafunzi hao 600 wamegoma kurejea kwenye chuo hicho kufuatia mauaji ya wanafunzi 148 wa Chuo Kikuu cha Garissa na wapiganaji wa kundi la al-Shabaab.

Mwenyekiti wa Chuo Mafunzo ya Ualimu Garissa Bw. Kimani Braizon amesema ni idadi ndogo mno ya wanafunzi wa eneo hilo wamerejea kwenye taasisi hiyo ya elimu huku wengine wakiapa kutorudi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni