.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 13 Agosti 2015

WANAFUNZI SABA WAFA MAJI KENYA WAKIOGELEA BAHARINI

Wanafunzi 7 wa shule ya St. Martin iliyopo Kahuri, Murang'a nchini Kenya wamekufa maji wakati wakiogelea kwenye fukwe ya bahari ya Pavilioni katika kaunti ya Diani Kwale.

Maafisa wa Chama cha Masalaba Mwekundu nchini Kenya,na wazamiaji wamefanikiwa kuiopoa miili saba ya wanafunzi hao jana jioni.

Wanafunzi hao wamekufa maji wakati walipokuwa wanaogelea karibu na fukwe ya Bidi Badu Baa eneo la Diani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni