Bondia Floyd Mayweather amepatiwa
ofa ya kitita cha fedha kisicho cha kawaida ili kumrejesha tena
ulingoni baada ya kustaafu.
Hata hivyo baada ya kupewa ofa hiyo
ya fedha zinazofikia tarakimu tisa, Mayweather ambaye alijiuzulu
ndondi baada ushindi wa michezo 49 mwezi Septemba, hafikiri kurudi
ulingoni.
Mayweather amesema kwa sasa amejitoa
ulingoni moja kwa moja, na bado hajafikiria kurejea kuzidunda.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni