.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 2 Februari 2016

THELUJI KALI IMEATHIRI USAFIRI HUKO GUANGZHOU NCHINI CHINA

Theluji kali imeathiri usafiri wa umma kusini mwa China, na kukwamisha makumi ya maelfu ya watu nje ya stesheni ya reli.

Polisi wamesema umati wa watu nje ya stesheni ya Guangzhou umeongezeka na kufikia watu 100,000.

Eneo la kati la China linatarajia kupata hali ya hewa ya baridi mno kuwahi kutokea kwa miaka mingi.

Theluji hiyo adimu imetokea wakati nchi ya China ikiadhimisha mwaka wake mpya, ambapo mamia ya wafanyakazi wahamiaji wanasafiri kwenda makwao kukutana na familia zao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni