Michuano ya Olimpiki 2016 kwa
walemavu wapatao 4,300 imefunguliwa kwa shamrashamra za aina yake
Jijini Rio nchini Brazil.
Tafauti ya michuano ya Olimpiki
iliyomalizika kukosa watazamaji wa kutosha michuano ya Olimpiki
walemavu inaonekana kujaa watazamaji kutokana na kuuzwa tiketi 2,000.
Kikundi kikitumbuiza wakati wa sherehe za ufuguzi wa michuano hiyo
Timu ya walemavu ya Tunisia ikiingia uwanjani kwa madaha
Timu ya walemavu ya Hispania ikiingia uwanjani kwa mbwembwe
Wachezaji walemavu wa Canada wakiingia uwanjani
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni