.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Aprili 2017

BARCELONA BILA LIONEL MESSI YAIFUNGA GRANADA

Barcelona ikiwa bila mfungaji wao anayeongoza Lionel Messi wameibuka na ushindi wa magoli 4-1dhidi ya Granada katika mchezo wa ligi ya La Liga.

Luis Suarez alifanya kazi ya ziada kabla ya mapunziko na kufunga goli la kwanza kabla ya mchezaji wa Chelsea anayecheza kwa mkopo Jeremie Boga kuisawazishia Granada.

Paco Alcacer aliifanya Barcelona iongoze tena kabla ya Uche Agbo kutolewa nje kwa kadi nyekundu. Ivan Rakitic alifunga la tatu na Neymar akamalizia la nne.
                         Jeremie Boga akishangilia baada ya kufunga goli pekee la Granada 
                             Nyota wa Barcelona Neymar akijipinda kupiga mpira wa adhabu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni