.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 12 Mei 2017

AJAX YATINGA FAINALI YA LIGI YA UROPA KWA MBINDE

Timu ya Ajax imejikuta ikipata wakati mgumu baada ya Lyon kutaka kulipa kisasi nchini Ufaransa katika kujaribu kutinga fainali ya Ligi ya Uropa kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1996.

Katika mchezo wa jana Ajax ilipata goli la kwanza kupitia kwa Kasper Dolberg na kufanya matokeo ya jumla kuwa magoli 5-1.

Lakini Alexandre Lacazette aliifungia Lyon magoli mawili kabla ya kumalizika kipindi cha kwanza na kisha Rachid Ghezzal kufunga goli la tatu katika dakika ya 81.
                                     Alexandre Lacazette akichezewa rafu katika eneo la penati
               Alexandre Lacazette akiwa ameubeba mpira baada ya kufunga kiufundi penati

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni