.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 13 Mei 2017

MICHELLE OBAMA AUSHAMBULIA UTAWALA WA DONALD TRUMP

Mke wa aliyekuwa rais wa Marekani Michelle Obama ametetea vikali jitihada zake za mlo wenye afya mashuleni alizozianzisha wakati mumewe Barack Obama akiwa madarakani.

Akiongea katika mkutano wa Afya ya Umma Jijini Washington, ameushambulia utawala wa rais Donald Trump kwa kulegeza masharti ya virutubisho kwa milo ya mchana mashuleni.

Wakati akiwa Ikulu Michelle Obama alianzisha kampeni ya "Let's Move", iliyokuwa ikihimiza mazoezi, ulaji wa milo yenye afya kwa vijana na wanafunzi wa Marekani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni