.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 13 Mei 2017

SHIRIKA LA AFYA DUNIA LATANGAZA MLIPUKO WA EBOLA DRC

Shirika la Afya Duniania (WHO) limetangaza kuwapo kwa mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Mtu apataye mmoja amefariki baada ya kupata virusi vya Ebola kaskazini mashariki mwa DRC kwa mujibu wa WHO.

Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeifahamisha WHO kupitia twitta vipimo vya maabara vimebaini mtu huyo alikuwa na virusi vya Ebola.

Zaidi ya watu 11,000 walifariki dunia kwa ugonjwa Ebola katika mataifa ya Afrika Magharibi mwaka 2014-2015, wengi wakiwa wa nchi za Guinea, Sierra Leone na Liberia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni