.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 2 Novemba 2017

LIVERPOOL YAKARIBIA KUTINGA HATUA YA MTOANO YA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Timu ya Liverpool imekaribia kutinga hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2008-09 kwa kupambana mno na kuibuka na ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Maribor.

Mshambuliaji Mohamed Salah alikuwa wa kwanza kutikisa nyavu kwa kufunga kifundi, huku baadaye James Milner akishuhudia penati yake ikiokolewa na kipa Jasmin Handanovic mwenye miaka 39.

Kiungo Emre Can aligongeana vyema na Milner na kisha kuachia shuti la mpira wa kuzungusha uliomkuta Daniel Sturridge aliyefunga goli la tatu.
                                             Mohamed Salah akifunga goli la kwanza la Liverpool 
                               Mshambuliaji Daniel Sturridge akifunga goli la tatu la Liverpool

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni