.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 14 Novemba 2017

MAELFU WALALA NJE KWENYE BARIDI KALI IRAN BAADA YA TETEMEKO

Maelfu ya wananchi w Iran wamelala nje usiku wa jana katika hali ya baridi kali baada ya kukumbwa na tetemeko lililobomoa majengo na kusababisha vifo magharibi mwa nchi hiyo.

Serikali inahaha kupata msaada kwa maeneo yaliyoathirika mno katika mkoa wenye milima wa Kermanshah, ambao mamia ya nyumba zimeathirika.

Zaidi ya watu 400 wamekufa na zaidi ya watu 7,000 wamejeruhiwa wakati tetemeko lilipolikumba eneo la mpaka wa Iran na Irak jumapili.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni