.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 14 Novemba 2017

MCHEZAJI WA ZAMANI WA CELTIC NA MAN U AUGUA SARATANI

Mchezaji wa zamani wa timu za Celtic na Manchester United Liam Miller anaugua ugonjwa wa saratani.

Raia huyo wa Ireland amerepotiwa kurejea nchini kwake akitokea Marekani ambapo amekuwa akipatiwa tiba ya mionzi.

Miller, ambaye ameshinda makombe 21 akiwa na timu ya taifa ya Jamhuri ya Ireland kati ya 2004 na 2009, alianzia soka lake Celtic kabla ya kuhamia Old Trafford.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni