.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 4 Aprili 2018

FRANCK RIBERY ACHAGIZA USHINDI WA BAYERN MUNICH

Franck Ribery ameisaidia Bayern Munich kutokea nyuma na kuibuka na ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Sevilla katika mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Bayern ilipata magoli yake kupitia goli la kujifunga la Jesus Navas akibambatiza krosi ya Ribery na kisha kuongeza goli la pili kupitia kwa Thiago Alcantara.

Katika mchezo huo Sevilla ilianza vizuri na kupata goli la kuongoza katika dakika ya 32 kupitia kwa beki Pablo Sarabia. 
  Krosi ya Franck Ribery ikiwa imetinga wavuni baada ya Jesus Navas kujifunga wakati akijaribu kuokoa mpira
   Thiago Alcantara akiwa amepiga mpira wa kichwa uliobadilisha muelekeo na kumshinda kipa wa Sevilla 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni