Rweyunga Blog inawatakia waislamu wote
nchini Tanzania na Ulimwenguni kote Sikukuu njema ya Idd.
Tusherehekea Idd kwa amani, upendo na utulivu huku tukiendelea kuyaenzi mambo yote mema kwa ajili yetu na vizazi
vyetu pamoja na taifa letu la Tanzania kwa ujumla.
Pia tumshukuru Mwenyenzi Mungu kwa
kutupatia afya njema na neema kwa kuwakumbuka wale wote waliolazwa
hospitali pamoja na wale wasiojiweza. Idd Mubarak.
Deogratius S. Rweyunga

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni