.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 10 Agosti 2013

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI SWALA YA IDDI EL FITR KITAIFA MKOANI TABORA

Makamu wa Rais ameongoza maelfu ya waumini wa madhehebu ya dini ya Kiislam nchini kupitia mkoa wa Tabora katika kusheherekea sikukuu ya Idd El fitr

Akiwahutubia waumini hao  Makamu wa Rais   DK Mohamed  Gharib Bilal amewataka waislam nchini kutumia mafunzo, Maonyo, utii, na sala walizopata katika mwezi mtukufu wa Ramadhan, kwa kudumisha amani na upendo ili kukabiliana na  changamoto ambazo zinajitokeza hapa nchini, kwa kudumisha ukalimu na kuwajali wanyonge.

Sehemu ya Waumini wa dini ya Kiislamu waliojitokeza kuhudhuria Swala ya Sikukuu ya Iddi, iliyoswaliwa Kitaifa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Mkoani Tabora.

Sehemu ya Waumini wa dini ya Kiislamu waliojitokeza kuhudhuria Swala ya Sikukuu ya Iddi, iliyoswaliwa Kitaifa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Mkoani Tabora.

Sehemu ya Waumini kinamama wa dini ya Kiislamu waliojitokeza kuhudhuria Swala ya Sikukuu ya Iddi, iliyoswaliwa Kitaifa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Mkoani Tabora.


 Makamu wa Rais   DK Mohamed  Gharib Bilal akiwahutubia waumini  wa dini ya Kiislamu mkoani Tabora

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mufti Mkuu wa Tanzania, Shaaban Bin Simba, mara baada ya Swala ya Iddi iliyofanyika Kitaifa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Mkoani Tabora.

Mufti Mkuu wa Tanzania, Shaaban Bin Simba akiwa na masheikh wa mkoa wa Tabora

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni